---------------------------------------------------------------------------------------------
![]() |
| Wayne Routledge: Broke the deadlock at Old Trafford |
Mancester united leo wamepoke kichapo cha magoli 2-1 wakiwa nyumbani old trafford kwenye michuano ya FA .Wayne Routledge's alitangulia kuifungia Swansea City goli la kuongoza dakika ya 12 lakini Javier Hernandez(Chicharito) aliisawazishia united goli hilo dakika ya 16 mechi ilibadilika pale beki wa man U Fabio alipooneshwa kadi nyekundu na Swansea city kuweza kuutawala mchezo na kupata goli la ushindi lililofungwa na mshambuliaji Wilfried Bony dakika ya 90 na kuiwezesha Swansea City kuitupa nje ya michuano ya FA.

No comments:
Post a Comment