---------------------------------------------------------------------------------------------

Oscer na Willian wakishangilia kwa pamoja baada ya goli la pili kufungwa.Chelsea waliweza kuifunga Deby Countr magoli 2-0 katika michuano ya FA Cup yaliyofungwa na Obi Mikel dakika ya 66 na Oscer aliyefunga dakika ya 71.Kwa matokeo haya Chealsea sasa watakutana na Stoke City kwenye raund ya nne ya michuano hii ya FA.
No comments:
Post a Comment