Monday, November 18, 2013

Fatuma Bawah wa Sayari Queens azikwa leo Mwanza

 --------------------------------------------------------------------------------------------------
Fatuma Bawah
Aliyekuwa mshambuliaji wa Sayari Queens na Twiga Stars bawah amezikwa leo saa 7 mchana katika mkoa wa Mwanza.Fatuma enzi za uhai wake alishawahi kuibuka mfungaji bora kwenye michuano ya mwaka huu 2013 ya Airtel Rising Stars u-20, 'mungu ailaze roho ya marehem pema peponi amini'

No comments:

Post a Comment